Viwango vya chini vya maji vinashuhudiwa katika bwawa la Masinga licha ya mvua nyingi inayoendelea kunyesha kote nchini. Viongozi wa kampuni ya kuzalisha umeme KenGen wamepuuzilia mbali madai kuwa bwawa hilo linasababisha mafuriko wakisema kuwa halitajaa hadi mwezi Aprili mwaka ujao