Yesu Kanikuta Jangwani Lyrics
Yesu kanikuta jangwani, akaniambia, nenda huko YerusalemeYesu kanikuta gizani, akasema, kimbilia Yerusaleme
Mimi ni kipofu ni mauti (mimi ni mauti)Mimi ni kipofu sioni (mimi sioni){ Kulikuwa giza, kukapambazukaNikamwona Bwana Bwana wangu }*2
Natamani mji ule, Yerusaleme kuna nuru kuna rahaDhambi zangu matendo yangu, ni maovu, tazameni msalabani
Upindo wa nguo (nguo yako safi)Upindo wa nguo (nguo yako nzuri){ Uniguse moyo, moyoni mwanguNitaimba sifa sifa zako } *2