Aye aye aye
Ndugu yangu we
Usiwe na shaka
Mimi niko oo
Kitakacho tokea nitakusaidia
Matatizo oo-o
Ni ya kila mtu
Haya kuarifu yanapokujia
Yanapotokea nitakusaidia
Yaliponipata wengi walicheka sana
Kwangu mimi naona ni kawaida
Ndugu yangu mimi matatizo nimeyazoea
Kwangu mimi naona ni kawaida ya ya
Aye aye aye
Ndugu yangu we
Usiwe na shaka
Mimi niko o-o
Kitakacho tokea nitakusaidia
Kwangu mimi naona ni kawaida
Matatizo o-o
Ni ya kila mtu
Haya kuarifu yanapokujia
Yanapotokea nitakusaidia
Kwangu mimi naona ni kawaida ya ya
Ndugu yangu mimi matatizo nimeyazoea
Kwangu mimi naona ni kawaida
Kwangu mimi naona ni kawaida
Ndugu yangu mimi matatizo nimeyazoea
Yaliponipata wengi walicheka sana
Kwangu mimi naona ni kawaida
Ndugu yangu mimi matatizo nimeyazoea
Kwangu mimi naona ni kawaida ya ya
For this and more of your favorite #Patriotic #Zilizopendwa #Rhumba #Lingala and #Gospel songs from your favorite artists of all time, Subscribe to the Tamasha Records channel here: https://bit.ly/ChezaTamasha
Follow us on Social Media:
Facebook: / youcanfeelth. .
Twitter: / tamasharecords
Instagram: / tamasharecords
© 2020 Tamasha Corporation Limited. All rights Reserved.
#TamashaArchives
#Zilizopendwa