KILA MMOJA ANAWEZA KUWA INFLUENCER ILA NI WACHACHE WANAWEZA KUWA CONTENT CREATORS
Why?
CONTENT CREATORS LAZIMA AWE NA
Niche!
Niche ni eneo rasmi la maudhui yake, yaani yanahusu nini, haiwezi kuwa kitu chochote Ila kuhusu jambo fulani muhimu tu! Ndio maana content creator wengi unaona wanakuwa na idadi wastank ya watu kwakuwa yeye huwa hapost kila kitu Bali vitu vichache na hii hufanya watu wachache kuendelea ku fuatilia na hao watu wachache wakofuatilia wanafuatilia kweli hawana masihara
ILA
INFLUENCER
Yeye hana eneo rasmi, Leo anaweza kupost mahusiano yake, kesho akanza kuwa Mshauri wa biashara kesho kutwa akaanza post vituko mtandaoni kesho kutwa akapost kichambo kesho kutwa akapost kingine
Yaani hana kitu maalumu na sana sana hawa utakuta kWa sababu ya mambo hayo wanakuwa na idadi kubwaaaaa ya watu kumfuatilia kwakuwa ana mada nyingi anapost (hata connection hawakawii kupost hawa)
Sasa ukitaka kuwa tumia utaelewa yupi ni yupi na nani ni nani?
Mfano wa content creator
@ossegrecasinare - PHOTOGRAPH
@fahad_fuad - WILDLIFE PHOTOGRAPH
@dikobymonalisa - FOODS NA MANYAM NYAM
@doreenandy - LIFESTYLE
@djdorex - LIFESTYLE AND BEAUTY
Na mwanangu @_kisherscloset -
Na pia kuna Ambao ni content creator plus influencer yaani anaweza fanya vyote mara moja
Please tag wengine
Ila umeelewa?