#unanijuamimi #singeli #singelimpya #ukinyonyashingonakuachiayoteyote
LYRICS
INTRO
Baba farida touch touch
We Naysco mtu mbad
CHORUS
Hivi unanijua mimi mimi mimi
Nikuulize unanijua mimi mimi mimi
Naysco unanijua mimi mimi mimi
Nikuulize unanijua mimi mimi mimi
VERSE (1)
Mimi mimi sipendi kujisifia sana
Mimi mimi nikikupenda we utakoma
Nakuwa sielewi sisikii na king’ang’a
Haina haja alama mpenzi wangu utajulikana
Mimi huyo
Sijui mimi au kwa wote
Ugonjwa wangu ukinyonya shingo nakuachia yote
Mimi mimi kiukweli nimeshindikana
Eti niongee neno nukta isiwe kutukana
Mama amina
Mimi sina makuu wala sio matawi
Ukinipenda nakupenda
Ukinikubali nakukubali
Weweeeeh! Wewee
CHORUS
Hivi unanijua mimi mimi mimi
Nikuulize unanijua mimi mimi mimi
Naysco unanijua mimi mimi mimi
Nikuulize unanijua mimi mimi mimi
Kama nikikuacha hakikisha unapendaza
Tena we unang’aa uzidi uzuri balaa
Sio nikuache nikukute umefubaha
Nisicheke labda mimi sio mimi
Labda mimi sio mimi
Aaah 2van huyooh
Aah 2fleva hapa
Aah nakubaliana na wewe young tozz fashion
We msuko nakubaliana na chamiy jr , canobreezy
Dylan ,Woñgwiz , kayser rk2 watoto wa mwananyamala ujiji wanangu wa 26 mapenzi
Jenny brand ,latty bae ,drafo kidd ,yung drill
Manager jimmy wa pablo ,baby myrah rida
Mwanangu Mounzery
COPYRIGHT 2025 ALLRIGHT RESERVED BY @2vanfleva &@maksibinah